Waangalizi wa Ulaya wazuiliwa Ukraine

 



Ndege ya Malaysia ilioanguka mashariki mwa ukraine

Waangalizi wa muungano wa Ulaya waliotumwa katika eneo linalodhibitiwa na waasi mashariki mwa Ukraine ambapo ndege ya Malaysia Airline iliangushwa kwa kupigwa kombora siku ya alhamisi wamesema kuwa watu waliojihami wamewanyima rukhsa ya moja kwa moja kuona mabaki ya ndege hiyo.
Msemaji wa shirika la usalama na ushirikiano wa ulaya amesema kuwa kundi lao lilikabiliana na wapiganaji hao wengine wakiwa wamelewa kabla ya mmoja wao kufyatua risasi hewani.
Baada ya saa moja ,waangalizi hao 25 waliondoka kwa kushindwa kubuni eneo ambalo makundi ya wataalam wangetumia kuchunguza kuanguka kwa ndege hiyo mbali na kuiondoa miili ya takriban abiria 300 na wafanyikazi wa ndege hiyo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA