WAISLAMU WA MADHEHEBU YA ANSWAR SUNN WASHEHEREHEKEA SIKUKUU YA EID EL FITR LEO VIWANJA VYA MWEMBE YANGA
Sheikh Afidh Mtunyungu (kulia), akitoa hotuba wakati wa swala ya Eid El Fitr iliyofanyika leo asubuhi Viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar es Salaam. |
Waumini wa Kiislamu wakiwa kwenye swala hiyo.
Hapa waumini hao wakinunua kanzu katika viwanja hivyo.
Hapa waumini hao wakiswali.
Hapa waumini hao wakiswali.
Hapa waumini hao wakiswali. Imeandaliwa na www.habari za jamii.com- simu namba 0712-727062.
Comments