Afisa Mwandamizi wa Mfumo wa Taarifa wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Mariam I.Saleh, (Kushoto), akiwaeleza maafisa hawa wa polisi, kazi na huduma mbalimbalin zitolewazo na Mfuko huo, walipotembelea banda la PSPF, kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam
Afisa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Zuhura Saleh (Kulia) na Ofisa mwandamizi wa mfumo wa taarifa, Mariam I. Saleh, wakimuhudumia mkazi huyu wa Dar es Salaam, (Kushoto), aliyetembelea banda la PSPF, kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam.
Afisa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Zuhura Saleh, (Kushoto), akimpatia maelezo ya kina, mkazi huyu wa jijini Dar es Salaam juu ya huduma zitolewazo na Mfuko huo, alipotembelea banda la PSPF, kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam
Maafisa wa polisi, wakitazama (Mfano), wa nyumba zinazojengwa na Mfuko wa Pensheni wa PSPF, ambazo hukopeshwa kwa wanachama wake, wakati walipotembelea banda la Mfuko huo, kwenye maonyesho ya 38 ya bishara ya kimataifa Dar es Salaam, kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini. Anayewahudumia, ni Afisa uwekezaji, Hamidu Ngororo.
Afisa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Zuhura Saleh, (Kushoto), akimpatia maelezo ya kina, mkazi huyu wa jijini Dar es Salaam juu ya huduma zitolewazo na Mfuko huo, alipotembelea banda la PSPF, kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam
Afisa Mwandamizi wa Mfumo wa Taarifa wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Mariam I.Salehakimsikiliza Mwnaachama aliyetembelea banda la PSPF, kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam kwenye viwanja vya Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es Salaam
Afisa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Zuhura Saleh (Kulia) akimuhudumia Mwanachama wa Mfuko huo, (Kushoto), aliyetembelea banda la PSPF, kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam.
Afisa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Zuhura Saleh (Kulia) na Ofisa mwandamizi wa mfumo wa taarifa, Mariam I. Saleh, wakimuhudumia mkazi huyu wa Dar es Salaam, (Kushoto), aliyetembelea banda la PSPF, kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam.
Afisa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Zuhura Saleh, (Kushoto), akimpatia maelezo ya kina, mkazi huyu wa jijini Dar es Salaam juu ya huduma zitolewazo na Mfuko huo, alipotembelea banda la PSPF, kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam
Maafisa wa polisi, wakitazama (Mfano), wa nyumba zinazojengwa na Mfuko wa Pensheni wa PSPF, ambazo hukopeshwa kwa wanachama wake, wakati walipotembelea banda la Mfuko huo, kwenye maonyesho ya 38 ya bishara ya kimataifa Dar es Salaam, kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini. Anayewahudumia, ni Afisa uwekezaji, Hamidu Ngororo.
Afisa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Zuhura Saleh, (Kushoto), akimpatia maelezo ya kina, mkazi huyu wa jijini Dar es Salaam juu ya huduma zitolewazo na Mfuko huo, alipotembelea banda la PSPF, kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam
Afisa Mwandamizi wa Mfumo wa Taarifa wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Mariam I.Salehakimsikiliza Mwnaachama aliyetembelea banda la PSPF, kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam kwenye viwanja vya Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es Salaam
Afisa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Zuhura Saleh (Kulia) akimuhudumia Mwanachama wa Mfuko huo, (Kushoto), aliyetembelea banda la PSPF, kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam.
Comments