HABARI MPASUKOOOO. MSIKITI WA SHEIKH PONDA MTAMBANI UNATEKETEA KWA MOTO


MSIKITI wa Mtambani (pichani), Kinondoni Dar es Salaam, unaotumiwa pia na Sheikh Issa Ponda unateketea kwa moto.

Kwa mujibu wa mmoja wa mashuhuda alisema kuwa msikiti huo uliochini ya umiliki wa Shura ya Maimamu, ambao pia Sheikh Ponda huutumia katika harakati zake za kudai haki za waislamu, ulianza kuungua eneo la paa majira ya saa 12;30 jioni hii.

Juhudi za kuuzima moto huo zilikuwa zinaelekea kushindikana kutokana kwa vile  paa lililoanza kuungua liko juu ya ghorofa.

Mpaka hivi sasa chanzo cha moto huo hakijaweza kupatikana.

Tutaendelea kuwaletea habari zaidi kadri tutakavyokuwa tunazipata.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*