JESHI LA MAGEREZA LAIBUKA KIDEDEA MSHINDI WA VIPANDO BORA MAONESHO YA WAKULIMA MKOANI TABORA, NANE NANE 2014

      

image
Chinisi zilizooteshwa kwa Ustadi mkubwa katika Banda la Jeshi la Magereza katika Kilele cha Maonesho ya Nane Nane Kanda ya Magharibi, Jeshi la Magereza limeibuka Mshindi wa kwanza katika Mapando Bora katika Jeshi la Magereza.
image_1
Muonekano wa Mbogamboga aina ya Sukumawiki pamoja na Mchicha ilivyostaawi kwa Ustadi mkubwa katika Banda la Jeshi la Magereza katika Maonesho ya Nane Nane katika Kanda ya Magharibi yaliyofanyika Mkoani Tabora ambapo Jeshi la Magereza limeibuka Kidedea kwa upande wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama.
image_2
Kikombe cha Ushindi kilichokabidhiwa kwa Jeshi la Magereza katika Kanda ya Magharibi, Mkoani Tabora ambapo Jeshi la Magereza limeibuka Mshindi wa kwanza kwa upande wa Vipando Bora kwa Mwaka 2014 katika Kilele cha Maonesho ya Nane Nane Kanda ya Magharibi yaliyofanyika Mkoani Tabora(Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).
photo
Shamba la Mahindi likiwa limestawi vizuri na limelimwa kwa kuzingatia Kanuni Bora za Kilimo Bora katika Banda la Jeshi la Magereza katika Kanda ya Magharibi kwenye Maonesho ya Nane Nane Kikanda yaliyofanyika Mkoani Tabora.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*