JK ALIPOKUTANA NA WANAJUMUIYA YA WATANZANIA WA DMV KATIKA MKUTANO WA DIASPORA JIJINI WASHINGTON


Rais Kikwete akimsalimia mmoja wa watoto waliokuwepo kumlaki
Rais Kikwete akilakiwa na wanajumuiya, Kwa picha zaidi nenda soma zaidi.
Rais Kikwete, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernad Membe, Balozi wa Tanzania Marekani Mhe Liberata Mulamula na Bi Rose Jairo, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora wakijadiliana jambo meza kuu
Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC
Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC
Viongozi na wanachama wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC
Wajumbe wa Bodi ya Jumuiya ya Watanzania DMV
Sehemu ya wanajumuiya na wageni toka sehemu mbalimbali wakiwa katika mkutano huo
Washiriki wa mkutano huo
Wanajumuiya wakiwa wametulia mkutanoni
Wanajumuiya
Wanajumuiya toka kila kona ya DMV na sehemu mbalimbali za Marekani
Sehemu ya viongozi wa Jumuiya na wanajumuiya
Wote wametulia wakifuatilia kinachoendelea
Wanajumuiya
Wanajumuiya
Wanajumuiya
Sehemu ya nyomi ya wanajumuiya
Wanajumuiya pamoja na baadhi ya viongozi



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA