JOKATE AINGIA BONGO FLEVA RASMI, AFUNGUKA

 Jokate Mwengelo juzikati aliamua kujizamisha rasmi kwenye muziki wa Bongo Fleva baada ya kupanda kwa mara ya kwanza katika Jukwaa la Serengeti Fiesta 2014, akiwa na madensa wake.
Mwanamitindo maarufu ambaye aliwika na lebo ya Kidoti, Jokate Mwengelo.
Ishu hiyo ilitokea usiku wa kuamkia Agosti 10 mwaka huu ndani ya uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, ambapo Jokate ‘aliwa-suprise’ mashabiki akiwa anajiamini akiimba na kutawala steji.Kwa muda wote akiwa jukwaani, mwanamitindo huyo alicheza staili sambamba na wanenguaji wake pasipo kupotea hata mara moja kama vile alianza zamani kuimba.
“Nina kipaji cha kuimba, na ndiyo maana nimekuwa nikiimba kanisani siku zote, muziki naupenda sema mwanzo nilishindwa kwenda na mambo mawili kwa wakati mmoja, ila sasa ndiyo nimezindua rasmi harakati za muziki na siku chache zijazo nitaachia video ya wimbo wangu nilioimba leo,” alisema Jokate.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA