MASANJA MKANDAMIZAJI AONGELEA ISSUE YA WEMA NA DIAMOND.

Wema, Mkandamizaji na Diamond
Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa mambo Instagram basi jana na leo kume kua na hili swala la Wema na Diamond. Tema Wema wakitaka na wameanzisha hashtag ya #BringBackOurWema na kutoa maoni, lawama na
masikitiko yao juu ya Wema huku lawama kubwa kabisa akipewa Diamond ambaye nae ameisha wajibu (soma alicho kisema hapa). Sasa kwa jinsi mambo yanavyo enda nae Mkandamizaji aka Street Pastor ameamua kusema yake ya moyoni kama ifuatavyo

Street Pastor Anasema.. HILI SWALA LA DIAMOND NA WEMA NADHANI MUNGU AMEMUHURUMIA MMOJA WAPO KATI YA HAO WAWILI. KAMA WANGEKUWA WATU WA KUOANA WANGESHA OANA UCHUMBA GANI MREFU KAMA WANASOMEA UDOKTA???? RAFIKI YANGU NASIB, KAMA KWELI MLIPENDANA KWA DHATI HIZO KASORO ZINAREKEBISHIKA, MAANA HAKUNA MWANADAMU ALIYE SAHIHI KWAN HATA WW NASIB UNAMAPUNGUFU YAKO. NA WEWE DADA YANGU WEMA LAZIMA UJUE MME NDIO KICHWA CHA NYUMBA KWA MAELEZO HAYO INAONYESHA HAUMSIKILIZAGI MWENZIO OMBA MSAMAHA TENAAA NA TENA NA UKUBALI KUBADILIKA. MI SIPENDI MKIWA MNAONGOZANA WOTE KWENYE MA SHOW YA USIKU MME KAFANYE KAZI MKE ABAKI HOME UKIRUDI MWILI UMEPOA HATA UJAUZITO UNAINGIAA!! SASA WOOTE STEJINI MKIRUDI MIILI YA MOTO SI MTAZAA POPOMPOO JAMANIII!! NITAFURAHI KUSIKIA TOFAUTI ZENU MMEZIMALIZA KWA AMANI ILI MASHABIKI WENU WASIJISIKIE VIBAYA. #Over# #AchanaNaMwandishiWaMakala# #YaanNajuaUsikuWaLeoUmepataWatuSanaNdaniYaInstaKwaIshuYaPlatinamuNaWema# #SasaHiviSiChaWemaWalaDiamondWoteMioyoInawaendaMbioKamaBitiYaNyimboMpyaYaDia

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI