TANURI LA KUTENGENEZEA SILAHA ZA JADI KWA AJILI YA VITA NA ULINZI NDILO HILO, LIPO MBEYA.

 
Tanuri lililotumiwa na wahunzi kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita, kwa ajili ya kuyeyushia udongo wenye madini ya chuma na kuutumia kutengenezea zana mbalimbali ikiwemo silaha za jadi, kwa ajili ya vita na ulinzi.

Mabaki ya tanuri hili la asili, yapo katika moja ya mapori yaliyopo kwenye Kata ya Kapele wilayani Momba mkoani Mbeya. (Picha na Joachim Nyambo).

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.