UKAGUZI WA VITENGO VYA MAWASILIANO SERIKALINI: MKURUGENZI WA IDARA YA HABARI (MAELEZO) ATEMBELEA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO

 Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (Kulia) akisisitiza jambo juu ya umuhimu wa magazeti wakati alipokuwa na mazungumzo na Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Bw. Assah Mwambene (Kushoto).
 Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (Kulia) akizungumza na Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Bw. Assah Mwambene (Kushoto) wakati wa ziara ya ukaguzi wa vitengo vya mawasiliano serikali.
 Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Bw. Assah Mwambene (Kushoto) akizungumza na Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (Kulia) wakati wa ziara ya ukaguzi wa vitengo vya mawasiliano serikali.
 Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (Kulia) akiagana na ugeni kutoka MAELEZO. Katikati ni Mkurugenzi wa Idara ya hiyo, Bw. Assah Mwambene na kushoto ni Afisa Habari wa Idara hiyo, Bw. Frank Mvungi.
 Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Bw. Assah Mwambene (Kushoto) akibalishana kadi za mawasiliano na Mkuu wa Kitengo cha Maktaba na Nyaraka kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bw. Ally Msovu mara alipotembelea Maktaba hiyo. Kwa mujibu wa taarifa za ubora wa Maktaba za wizara za serikali hapa nchini, Maktaba hii ya Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ni ya kipekee na ya kupigiwa mfano na imekuwa ikiwavutia wageni wengi wa ndani na nje ya nchi wanaoitembelea Ofisi hii.
 Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Bw. Assah Mwambene (Kulia) akibadilishana uzoefu na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bi. Joyce Mkinga (Kushoto) wakati alipotembelea na kukagua Kitengo cha Mawasiliano Serikalini cha  Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*