UKAGUZI WA VITENGO VYA MAWASILIANO SERIKALINI: MKURUGENZI WA IDARA YA HABARI (MAELEZO) ATEMBELEA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO
Katibu Mtendaji wa Ofisi ya
Rais, Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (Kulia) akisisitiza jambo juu ya
umuhimu wa magazeti wakati alipokuwa na mazungumzo na Mkurugenzi wa Idara ya
Habari, Bw. Assah Mwambene (Kushoto).
Katibu Mtendaji wa Ofisi ya
Rais, Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (Kulia) akizungumza na
Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Bw. Assah Mwambene (Kushoto)
wakati wa ziara ya
ukaguzi wa vitengo vya mawasiliano serikali.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari,
Bw. Assah Mwambene (Kushoto) akizungumza na Katibu Mtendaji wa Ofisi ya
Rais, Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (Kulia) wakati wa ziara ya ukaguzi wa
vitengo vya mawasiliano serikali.
Katibu Mtendaji wa Ofisi ya
Rais, Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (Kulia) akiagana na ugeni kutoka
MAELEZO. Katikati ni Mkurugenzi wa Idara ya hiyo, Bw. Assah Mwambene na kushoto
ni Afisa Habari wa Idara hiyo, Bw. Frank Mvungi.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari,
Bw. Assah Mwambene (Kushoto) akibalishana kadi za
mawasiliano na Mkuu wa Kitengo cha Maktaba na Nyaraka kutoka Ofisi ya Rais,
Tume ya Mipango, Bw. Ally Msovu mara alipotembelea Maktaba hiyo. Kwa mujibu wa taarifa
za ubora wa Maktaba za wizara za serikali hapa nchini, Maktaba hii ya Ofisi ya
Rais, Tume ya Mipango ni ya kipekee na ya kupigiwa mfano na imekuwa ikiwavutia
wageni wengi wa ndani na nje ya nchi wanaoitembelea Ofisi hii.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari,
Bw. Assah Mwambene (Kulia) akibadilishana uzoefu na Mkuu
wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bi.
Joyce Mkinga (Kushoto) wakati alipotembelea na kukagua Kitengo cha Mawasiliano
Serikalini cha Ofisi ya Rais, Tume ya
Mipango.
Comments