Waziri wa Mambo ya ndani, Mathias Chikawe (wa pili kulia), akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya sh. mil. 40 kutoka kwa Ofisa Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Georgia Mutagahywa ikiwa ni msaada kwa ajili ya Wiki ya Nenda kwa Usalama, katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya wizara hiyo, Dar es Salaam leo. Anayeshuhudia makabidhiano hayo ni Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali Ernest Mangu (wa pili kushoto) na Kamanda wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga.
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments