LEO watoto wetu wapatao 808,111 wanamaliza elimu yao ya msngi ya Darasa la Saba nchini kote.

Hii ni idadi tu ya wale ambao wamejisajili kufanya mitihani hiyo kwa mawa huu na Baraza la Mitihani kuwatambua katika takwimu zao hapa nchini kwa mwaka huu wa 2014 lakini huenda vijana waliostahili kumaliza elimu hiyo ingekuwa kubwa zaidi ukilinganisha na wale waliojindikisha darasa la kwanza 2007.

Nimesema watoto wetu wanamaliza kwaklua tu na mimi katika hao 808,111 bimnti yangu ni mmoja wapo wa wanaomaliza leo na kwa enzi zetu sisi wazazazi wao tungejitapa kuwa ni LY ambayo kimsingi kipindi ile tupo ambao tulikua hatuji maana yake bali ni kufuata mkumbo tu kutokana na viingereza vyetu vya Ugoko kutoka Shule ya Msingi Chini ya Mti.

Hahahaaaa! Mimi nilikuwa nafahamu maana yake ni Last Year! Na hii ni kwasababu tu kaka zangu walikuwa wananifundisha watokapo likizo.

Hoja yangu hapa ni juu ya vijana wetu hawa zaidi ya laki nane ambao kesho wanaingia mtaani na kuazia septemba 12 ni raia na wanarudi mtaani. Soma zaidi : FATHER KIDEVU BLOG

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA