FURAHA YA KUHITIMU DARASA LA SABA

Mhitimu wa darasa la saba   shule ya Msingi Muungano  mjini  Iringa  aliyejitambulisha kwa jina moja la Emanuel akifuatilia tangazo la masomo ya  ziada (TUITION) kwa ajili ya  kidato  cha kwanza tangazo lililobandikwa katika   nguzo ya simu  eneo la Danish mjini Iringa  baada ya kumaliza kufanya mtihani wa Taifa wa darasa la  saba


Mwanafunzi  Andason Aldoph ,Salma Yusuph na Naufary Rajab wakishangilia  baada ya  kuhitimu  elimu ya msingi  leo
Wahitimu wa darasa la saba katika  shule ya msingi  Lugalo na Wilolesi mjini  Iringa  wakijipongeza kwa kushangilia baada ya  kumaliza kufanya mtihani wa Taifa wa darasa la  saba  jana huku  wakiimba  wimbo  wao kuwa wamemaliza viboko  sasa  basi ufaulu ni lazima kama  walivyokutwa na mpiga picha  wetu  leo jioni( picha zote  na FrancisGodwinblog)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.