Mwezi wa balaa ni balaa tu. leo Basi la Super Feo lililokuwa linatokea Songea kwenda Mbeya limepata ajali na kusababisha watu wawili kufa na wengine 20 kujeruhiwa.
Ajali hiyo imetokea leo eneo la Sinangula wakati likimkwepa mwendesha baiskeli.
Habari zaidi tuawaletea punde
Ajali hiyo imetokea leo eneo la Sinangula wakati likimkwepa mwendesha baiskeli.
Habari zaidi tuawaletea punde
Comments