KESI YA SHEIKH PONDA YAAHIRISHWA TENA KWA MARA NYINGINE


Sheikh Ponda akiwa eneo la Mahakama.
Wakili Juma Nassoro akizungumza na waandishi na wafuasi wa Sheikh Ponda.
Baadhi ya wafuasi wa Sheikh Ponda wakimsikiliza wakili Juma Nassoro nje ya mahakama kuu.

KESI inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda ya kufanya mkutano wa hadhara mjini Morogoro, imeahirishwa hadi Septemba 10 mwaka huu, itakaposikilizwa katika Mahakama Kuu.

Kesi hiyo imeahirishwa baada ya upande wa utetezi  kuomba kesi hiyo iliyoko Morogoro ihamishiwe katika Mahakama Kuu ya Tanzania badala ya kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA