Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akikata utepe ikiwa ni ishara ya kukabidhi msaada wa mashine 28 zenye thamani ya sh. mil. 12.6 za kufyatulia tofali kno wa hadhara kwenye Uwanja wa Bwawani, Maili Moja, Kibaha leo.wa vijana wa Mkoa wa Pwani zilizotolewa na Shirika la Nyumba la Taifa. Msaada huo ulikabidhiwa wakati wa mkuta
Kinana akimshukuru Meneja wa NHC Mkoa wa Pwani, Pauline Mrango baada ya kukabidhi msaada huo
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza 9kushoto0 akiipongeza NHC kupitia kwa Meneja wa NHC Mkowa Pwani kwa msaada huo muhimu wa vijana. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Comments