KINANA AONGOZA KIKAO CHA MAKATIBU WAKUU WA VYAMA RAFIKI VILIVYOPIGANIA UKOMBOZI WA NCHI ZA KUSINI MWA AFRIKA
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (katikati) akiongoza kikao cha makatibu wakuu wa vyama rafiki vilivyopigania Ukombozi wa Nchi Kusini mwa Afrika (FLM), nchini Afrika Kusini. Kushoto kwa Kinana ni Katibu Mtendaji Mkuu wa ZANU-PF ya Zimbabwe, Didymus Mutasa na anayefuata ni Katibu Mkuu wa ANC ya Afrika Kusini,Gwede Mantashe. Kulia kwa Kinana aliyevaa miwani ni Katibu Mkuu wa MPLA ya Angola, Juliao Paulo 'Dino Matrosse' na anayefuata ni Katibu Mkuu wa SWAPO cha Namibia, Nangolo Mbumba. (PICHA YA OFISI YA KATIBU MKUU WA CCM)
Comments