KINANA ATEMBELEA SHULE YA WAMA -NAKAYAMA RUFIJI.AMPONGEZA MAMA SALMA KWA KUANZISHA SHULE HIYO ILIYOPATA UFAULU MZURI KIDATO CHA NNE

 Katibu Mkuu wa CCM, ADULRAHMAN Kinana akizungumza na wananfunzi wa Shule ya Sekondari ya WAMA NAKAYAMA aliposimama kwa muda akitokea ziara ya Kisiwa cha Mafia kwenda Dar es Salaam. Alimpongeza Mama Salma Kikwete kwa kitendo cha kuanzisha shule hiyo yenye manufaa makubwa kwa watoto ya kike wanaotoka sehemu mbalimbali nchini kwenda kusoma hapo. Pia alitumia furssa hiyo kuwapongeza walimu wa shule hiyo kwa kazi kubwa wanaoifanya kiasi cha kufanikisha wanafunzi kufanya vizuri katika mtihani wa Kidato cha Nne mwaka jana.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA.KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Mkuu wa shule hiyo, Suma akielezea historia ya shule hiyo inayojuisha watoto wengi yatima
 Wanafunzi wakifurahia pongezi za ufaulu mzuri zilizotolewa na Kinana
 Moja ya majengo ya shule hiyo
 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akiwaimbisha wanafunzi wa shule hiyo wimbo wa 'Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote', uliotungwa enzi hizo na babake Moses Nnauye.
Wanafunzi wakishangilia kwa furaha baada ya kuimba bila matatizo wimbo huo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.