Mfanyabiashara wa binadamu, Ally Hamidu ambaye hivi karibuni anatuhumiwa kuwaingiza nchini kinyemela makomandoo wa Nepali akiwa chini ya ulinzi katika Ofisi ya Uhamiaji Mkoa wa Dar es Salaam jana, baada ya kukamatwa eneo la Sinza. Kushoto ni mwanajeshi wa zamani wa Marekani ambaye pia anashikiliwa Uhamiaji kwa kujenga urafiki na Ally.
ALLY HAMIDU ALLY ambaye amekiri kufanya kazi hiyo ya kusafirisha binadamu akiwa Ofisi za Uhamiaji Mkoa wa Dar es Salaam.
ALLY HAMIDU ALLY ambaye amekiri kufanya kazi hiyo ya kusafirisha binadamu akiwa Ofisi za Uhamiaji Mkoa wa Dar es Salaam.
Comments