Mbunge wa Jimbo la Mvomero, ambaye pia na Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akikabidhi shilingi milioni moja kwa kikundi cha Upendo-Mvomero, wakati wa ziara yake jimboni humo jana
Viongozi wa ccm kata ya mvomero wakimpokea naibu waziri maji na mbiunge wa mvomero kuzindua kikundi cha hisa cha Upendo-Mvomero
Tutakuchagua Tenaaaaa!viongozi wa matawi ya ccm kata ya Mvomero na wanachama wa kikundi cha Upendo 1-mvomero wakinyosha mikono kwa kauli ya kumchagua tena ubunge mwakani
Viongozi wa ccm kata ya mvomero wakimpokea naibu waziri maji na mbiunge wa mvomero kuzindua kikundi cha hisa cha Upendo-Mvomero
Makalla akipongezwa na kuagwa baada ya kuzindua na kukabidhi mchango wa shilingi milioni moja kikundi cha Upendo-mvomero |
Comments