MASHABIKI WA SKYLIGHT BAND KUSHEHEREKEA BIRTHDAY YA MR. JACK’S HUKU WA WAKIKARIBISHWA NA SHOT ZA JACK DANIEL’S LEO


IMG-20140911-WA0023

Mpango mzima unahisika kwa usiku wa leo pale Thai Village.

DSC_0159

Vijana watanashati wa Skylight Band wakimsindikiza Sam Mapenzi (wa pili kuhsoto) kutoa burudani ya Live Music kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar es Salaam, huku usiku wa leo wataungana na mashabiki wake kusheherekea Birthday Mr. Jack's huku mlangoni wakipata SHOT za Jack Daniel's kusindikiza usiku huo.

DSC_0036

Divas wa Skylight Band wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Mary Lucos, igna Mbepera na Meneja wa Band Aneth Kushaba AK47 wakiwajibika.

DSC_0134

Sony Masamba wa Skylight Band akitoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo huku akicheza "style" mpya ya bendi hiyo inayoitwa "FUNGA ZIPU" sambamba na Mary Lucos na Aneth Kushaba AK47.

DSC_0192

Sehemu ya mashabiki wakisakata sebene la Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.

DSC_0139

Mutu muzima Joniko Flower akipiga vocal na kupewa sapoti na Mary Lucos, Sony Masamba na Digna Mbepera.

DSC_0195

Zipopo zilikunyumba.......ni moja ya Swaga za Skylight Band huku mashabiki nao hawakukubali kushindwa.

DSC_0206

Ni raha iliyoje unapoanzisha kitu na mashabiki wako wakipenda kujifunza na kukicheza kama wewe....Skylight Band #Balsaaaa# ndio habari ya mujini.

DSC_0203

Mpiga kinanda wa Skylight Band ambaye anahusika sana kunogesha muziki wa Live wa Skylight Band.

DSC_0206

DSC_0105

Huku burudani ikiendelea #WANAMANYOYA wakipata Ukodak kutoka kulia ni Joshua Ndege, The Big Boss Sebastiana Ndege, Rais wa Wanamanyoya Justine Ndege, Magaua pamoja na Eddievied.

DSC_0038

Aneth Kushaba AK47 a.k.a Komando kipensi akipiga vocal za uhakika kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye uwanja wao wa nyumbani Thai Village ambapo leo patakuwa hapatoshi baada ya kukusanya mashabiki wapya kwenye NYAMA CHOMA FESTIVAL 2014 wikiendi iliyopita.

DSC_0046

Hashimu Donode a.k.a Mzee wa Kiduku akiwajibika jukwaani na hisia kabisa.

Kwa picha zaidi ingia humu

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA