MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI AKUTANA NA RAIS JAKAYA KIKWETE IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
Mbunifu
wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi (kulia) akibadilishana mawazo na
Rais Jakaya Kikwete IKULU Leo Jijini Dar es Salaam alipomtembelea na
kujadili mambo mbalimbali.
Rais
Jakaya Kikwete akijadiliana na Ujumbe Maalum Ukiongozwa na Mbunifu wa
mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi (wa kwanza Kulia) ikulu jijini Dar es
Salaam Leo
Rais
Jakaya Kikwete akipitia baadhi ya sampuli za vitambaa vya nguo
vinavyotumiwa na mbunifu wa mavazi wa kimatafaifa Sheria Ngowi
(kulia)IKULU Jijini Dar es Salaam LEO,Kushoto ni Makamu wa Rais wa
Sheria Ngowi Brand Haki Ngowi.
Rais
Jakata Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe Maalum Kutoka
Sheria Ngowi Brand Ukiongozwa na Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria
Ngowi (wa pili kushoto) Makamu wa Rais wa Sheria Ngowi Brand Haki Ngowi
(wa pili Kulia) Mkuu wa Kitendo cha Biashara na Matangazo Deo Kessy (wa
kwanza kushoto) na Kiongozi wa idara ya habari kutoka Sheria Ngowi Brand
Atunza Nkrulu (wa kwanza Kulia). Picha na Freddy Maro -IKULU
Comments