Naibu Waziri Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii azindua Mfumo wa Uboreshaji wa Upatikanaji wa Dawa na Vifaa tiba mjini Dodoma.



Naibu Waziri wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Mhe. Dkt. Kebwe Stephen Kebwe akiwahutubia wadau mbalimbali waliohudhuria sherehe ya Uzinduzi Uboreshaji wa Mfumo wa Upatikanaji wa Dawa na Vifaa Tiba kupitia Mzabuni mmoja mkoa wa Dodoma, leo tarehe 11 Septemba, 2014 mjini Dodoma.
Balozi wa Uswisi nchini Tanzania, Mhe. Balozi Oliver Chave akitoa hotuba yake mbele ya wadau mbalimbali waliohudhuria katika sherehe ya Uzinduzi Uboreshaji wa Mfumo wa Upatikanaji wa Dawa na Vifaa Tiba kupitia Mzabuni mmoja mkoa wa Dodoma, leo tarehe 11 Septemba, 2014 mjini Dodoma.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Rehema Nchimbi akitoa maelezo mazuri kuhusiana na faida ya Uzinduzi Uzinduzi Uboreshaji wa Mfumo wa Upatikanaji wa Dawa na Vifaa Tiba kupitia Mzabuni mmoja mkoa wa Dodoma, leo tarehe 11 Septemba, 2014 mjini Dodoma.

Dkt. Karin ambaye pia ni mdau wa Mfumo wa upatikanaji wa dawa na Vifaa Tiba kupitia Mzabuni mmoja mkoa wa Dodoma akitoa shukurani zake za dhati kwa wadau mbalimbali waliohudhuria sherehe za Uzinduzi wa Mfumo huo leo tarehe 11 Septemba, 2014 mjini Dodoma.

Baadhi ya wadau toka sehemu mikoa mbalimbali wakifuatilia hotuba zikizowasilishwa na viongozi katika sherehe ya Uzinduzi Uboreshaji wa Mfumo wa Upatikanaji wa Dawa na Vifaa Tiba kupitia Mzabuni mmoja mkoa wa Dodoma, leo tarehe 11 Septemba, 2014 mjini Dodoma.

Kikundi cha Ngoma cha mjini Dodoma kikitumbuiza mbele ya mgeni rasmi wakati wa sherehe ya Uzinduzi Uboreshaji wa Mfumo wa Upatikanaji wa Dawa na Vifaa Tiba kupitia Mzabuni mmoja mkoa wa Dodoma, leo tarehe 11 Septemba, 2014 mjini Dodoma.

Baadhi ya Waandishi wa habari wakichukua matukio wakati wa sherehe ya Uzinduzi Uboreshaji wa Mfumo wa Upatikanaji wa Dawa na Vifaa Tiba kupitia Mzabuni mmoja mkoa wa Dodoma, leo tarehe 11 Septemba, 2014 mjini Dodoma.

Wadau wa Mfumo wa upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kupitia mzabuni mmoja mkoa wa Dodoma wakitiliana saini makubaliano wakati wa sherehe ya Uzinduzi Uboreshaji wa Mfumo wa Upatikanaji wa Dawa na Vifaa Tiba kupitia Mzabuni mmoja mkoa wa Dodoma, leo tarehe 11 Septemba, 2014 mjini Dodoma.

(Picha zote na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU