Official Danny Welbeck amejiunga na Arsenal kwa mkataba wa miaka 5 for £16m


Mshambuliaji wa kimataifa wa England na Manchester United Danny Welbeck amefuata mkumbo wa kundi la wachezaji walioihama Man united wiki hii.Baada ya Shinji Kagawa, leo hii imethibitishwa rasmi Danny Welbeck amejiunha na klabu ya Arsenal.Welbeck ambaye alijiunga na United tangu alipokuwa na miaka 7, amejiunga na Arsenal kwa ada ya uhamisho wa £16m na akisaini mkataba wa miaka minne.
Welbeck ameshaichezea Man united mechi 142 huku akifunga jumla ya mabao 29.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.