RAIS JAKAYA KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA AMANI NA USALAMA WA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA JIJNI NAIROBI
Inspekta Jenerali wa Polisi Ernest Mangu na Mkuu wa Majeshi
Jenerali Davis Mwamunyange wakielekea kwenye ukumbi wa mikutano katika
ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Jomo Kenzatta jijini Nairobi katika
mkutano wa Baraza la Amani na Usalama la nchi za umoja wa Afrika (AU)
kuzungumzia masuala ya tioshio la ugaidi linalolikabili bara hilo na
dunia kwa ujumla
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika ukumbi wa mikutano
wa kimataifa wa Jomo Kenzatta jijini Nairobi leo kujiunga na viongozi
wengine wanaounda Baraza la Amani na Usalama la nchi za umoja wa Afrika
(AU) kwenye mkutano wa kuzungumzia masuala ya tioshio la ugaidi
linalolikabili bara hilo na dunia kwa ujumla
Nyimbo za AU na Kenya zikipigwa kabla ya mkutano wa kuzungumzia
masuala ya tishio la ugaidi linalolikabili bara hilo na dunia kwa
ujumla katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Jomo Kenzatta jijini
Nairobi
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Yoweri Kaguta Museveni
wakiteta jambo katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Jomo Kenzatta
jijini Nairobi katika mkutano wa Baraza la Amani na Usalama la nchi za
umoja wa Afrika (AU) kwenye mkutano wa kuzungumzia masuala ya tishio la
ugaidi linalolikabili bara hilo na dunia kwa ujumla.Picha na IKULU
Comments