DR. MWANJELWA AMWAKILISHA VEMA KATIBU MKUU WA CCM TAIFA, AWASILISHA MABATI 40 ALIYOAHIDI KATA YA NSALAGA MBEYA



 Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, (CCM), akizungumza na wanawake wa kikundi cha ujasiliamali cha bonde la Uyole maarufu kwa jina la Amka Woman Group, kabla ya kuwakabidhi cherehani yenye thamani ya Tsh, 300,000/= na fedha taslimu Tsh, 100,000/=. 
 Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, (CCM), akimpatia kadi ya uanachama wa Chama Cha Mapinduzi, mmoja wa wananchi aliyeamua kujiunga na chama hicho katika kata ya Nsalaga, Jijini Mbeya leo. Wananchi 26, wamepatiwa kadi za chama hicho.
 Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, (CCM),akiwapatia kadi wanachama wapya, katika kata ya Nsalaga Uyole Jijini Mbeya.

 Baadhi ya wananchi wakimpongeza na kumshukuru Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, (CCM),baada ya kufikisha salama mabati 40, ambayo Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulhaman Kinana, aliahidi Desemba 4, 2013, alipotembelea Jijini Mbeya na kuona jitihada za wanachama wa CCM wa kata hiyo kujenga ofisi nzuri.

 Mbunge wa viti malum mkoa wa Mbeya, (MNEC), Dr. Mary Mwanjelwa, akisalimiana na baadhi ya waasisi wa CCM, waishio katika kata ya Nsalaga Jijini Mbeya.
 Ndiyo maana ninzile.... wakiimba viongozi wa ccm na baadhi ya wanachama kata ya Nsalaga Jijini Mbeya, baada ya Dr. Mary Mwanjelwa kufika eneo hilo.
 Kulia ni Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, akiwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi mkoa wa Mbeya, Fatuma Kasenga, wakifurahi pamoja baada ya kuwasili katika viwanja vya ofisi ya CCM kata ya Nsalaga wilaya ya Mbeya Mjini, kwa ajili ya kukabidhi mabati 40 ambayo aliahidi katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulahman Kinana.
 Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, (CCM), akizungumza na wanachama wa CCM na baadhi ya wananchi waliojitokeza katika mkutano wake wa kukabidhi mabati 40, ambayo Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulhaman Kinana, aliahidi Desemba 4, 2013, alipotembelea Jijini Mbeya na kuona jitihada za wanachama wa CCM wa kata hiyo kujenga ofisi nzuri.

Dr. Mwanjelwa, pia yeye alichangia kiasi cha Tsh.200,000/= na kuahidi kutoa mifuko 20 ya saruji. 


Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, (CCM),akikabidhi mabati 40, kwa niaba ya Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulhaman Kinana, ambaye aliahidi Desemba 4, 2013, alipotembelea Jijini Mbeya na kuona jitihada za wanachama wa CCM wa kata hiyo kujenga ofisi nzuri.


 Baadhi ya wanachama wa CCM kata ya Nsalaga, wilaya ya Mbeya Mjini, wakimshukuru Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, (CCM),baada ya kufikisha salama mabati 40, na kuwakabidhi kwa uaminifu, kwa niaba ya Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulhaman Kinana, aliyeahidi Desemba 4, 2013, alipotembelea Jijini Mbeya na kuona jitihada za wanachama wa CCM wa kata hiyo kujenga ofisi nzuri.
 MUNGU AKUBARIKI..
Picha ya pamoja kati ya Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, (CCM), na baadhi ya wanawake wa kikundi cha ujasiliamali cha bonde la Uyole maarufu kwa jina la Amka Woman Group, kabla ya kuwakabidhi cherehani yenye thamani ya Tsh, 300,000/= na fedha taslimu Tsh, 100,000/=.

           Kwahisani ya www.marymwanjelwa.blogspot.com

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI