FINCA WAZINDUA HUDUMA YAO MPYA YA FIKA NA FINCA


 Mkuu wa Huduma za Kibenki wa FINCA,Bwa.Gershom Mpangala akizungumza mbele ya Waandishi wa Habari (hawapo pichani),kuhusiana na taasisi hiyo ya Kifedha kuzindua kampeni yake mpya  iliyojulikana kwa jina la Fika na Finca,kampeni inayolenga kuwafikia Watanzania wote kupitia huduma za kibenki na kuwasaidia kutimiza malengo ya kimaendeleo waliyojiwekea,Mkutano huo umefanyika kwenye moja ya Ofisi zao zilizopo Mwembechai Jijini Dar.Pichani kati Kaimu Afisa Mwendeshaji Mkuu wa FINCA Tanzania ,Bwan.Daniel Mhin pamoja na Meneja tawi la Magomeni Bwa.Cassian Clovis
Pichani kati ni Kaimu Afisa Mwendeshaji Mkuu wa FINCA Tanzania ,Bwan.Daniel Mhina akifafanua zaidi kuhusiana na Faida za akaunti za akiba za Finca kuwa ni nyingi,ikiwa ni pamoja na urahisi wa kufungua na kuendesha akaunti,taratibu za kufungua akaunti zina mahitaji madogo,kutoa na kuweka pesa bure kwenye matawi yote nchini na usalama wa fedha za mteja kupitia mfumo wa bayometriki unaotumiwa na benki hiyo.Bwan Daniel alisema kuwa kupitia matawi ya FINCA inahudumia wateja zaidi ya 120000 ambao wanahudumiwa na zaidi ya wafanyakazi 700 nchini. pichani shoto ni Mkuu wa Huduma za Kibenki wa FINCA,Bwa.Gershom Mpangala pamoja na Meneja tawi la Magomeni Bwa.Cassian Clovis.
 Baadhi ya Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo wa FINCA uliofanyika jijini Dar leo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU