KIBAKA ALA KICHAPO KIKALI



Kijana Mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Omar mkazi wa Mafisa Morogoro,ambaye ni dereva wa boda boda mwishoni mwa wiki iliyopita alipokea  kichapo  kutoka kwa wananchi wenye hasir akidaiwa kumpora simu mwanamke mmoja nayedaiwa kuwa mwanafunzi wa chuo Kikuu Cha Kilima Cha Sokoine’ SUA’ 
Tukio hilo limetokea ijumaa iliyopita  Eneo  Mazimbu  FK  ambapo Mwanafunzi  huyo alikuwa akitembea kuelekea chuoni huku akiongea na simu hivyo Omar aliyekuwa amempakia mwenzake kwenye pikipiki walimpora simu kwa kutumia pikipiki hiyo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.