Mashindano ya SHIMIWI yafikia hatua ya nusu fainali mjini Morogoro.

      

08Timu ya mpira wa miguu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo (kushoto) na timu ya Ofisi ya Waziri Mkuu (kulia) wakiomba dua kabla ya mchezo wa hatua ya robo fainali leo mjini Morogoro.
05Baadhi ya watumishi wanaoshabikia mchezo wa drafti wakishuhudia pambano la kuwatafuta washindi wa mcheo huo leo katika kiwanja cha Jamhuri mjini Morogoro.
04Mshindi wa kwanza wa mchezo wa drafti wanaume Salumu Simba (kushoto) kutoka RAS Dodoma akichuana na mshindi wa tatu wa mchezo huo Ramadhani Mtenga (kulia)kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa mashindano ya SHIMIWI leo mjini Morogoro.
……………………………………………………………………..
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Mashindano hayo yanatarajiwa kufikia tamati siku ya Jumamosi Oktoba 11 mwaka huu na kuhusisha fainali za michezo mbalimbali ambazo zitachezwa kuhitimisha mashindano hayo ambapo yatafungwa rasmi kwa maandamano ya wanamichezo yatakayopokewa na Mgeni Rasmi atakayefunga michezo hiyo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*