MTEMVU AZINDUA JENGO LA OFISI ZA UWT -CCM VITUKA, TEMEKE

 Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (kulia), akisaliliana na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mara alipo wasili katika Ofisi ya Kata ya   Vituka Dar es Salaam leo 
  Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (katikati), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Ofisi ya wanachama wa (UWT) wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dar es Salaam leo (kushoto ni) Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania Kata ya Vituka Temeke Dar es Salaam na wanachama wengine  .
Mtemvu na viongozi wengine wa UWT, wakishangilia baada uzinduzi wa ofisi hizo kufanyika
Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu na Diwani wa Viti Maalum wa Temeke, Mariam Mtemvu wakitia saini kwenye vitabu vya wageni katika ofisi hizo
Mtemvu akiwa na wafuasi wa CCM wakielekea kwenye mkutano wa hadhara katika Kata ya Vituka
Mtemvu akisalimiana na wananchi

Mtemvu, Mariam Mtemvu na Mwenyekiti wa UWT Kata ya Vituka, Suzana Mdete wakiwapungia mikono wananchi
Baadhi ya wafuasi wa CCM wakiwa katika mkutano huo
Wananchi wakisikiliza kwa makini hotuba ya  Mbunge wa Jimbo la Temeke, Mtemvu
Msaidizi Mkuu wa Mbunge wa Temeke, Ally Mehalla akitambulishwa kwa wananchi wakati wa mkutano huo.
Timu ya soka wakiwa katika mkkutano huo
Mtemvu akitoa zawadi kwa msanii Haassn Mapenje  aliyekuwa akitumbuiza kwa sarakasi katika mkutano huo
Msanii Hassan Mkenjula akifanya mambo yake katika mkutano huo
Mbunge akimpongeza msanii Hassan Mkenjula
Mtemvu akisalimiana na mmoja wa wananchama wa CCM
Mdete akifungua mkutano huo wa hadhara
Mwanachama wa Chadema Husna Dole  akishangilia kwa furaha baada ya kukabidhi kadi ya chama hicho na kutangaza kujiunga na CCM katika mkutano huo
Husna akikabidhi kadi kwa Mtemvu
Mtemvu akimvisha fulana ya CCM Husna
Mtemvu akimkabidhi kadi ya CCM Husna

Mtemvu akisalimiana na wananchi baada ya mkutano kumalizika. PICHA ZOTE NA KHAMIS MUSSA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI