NAIBU WAZIRI MAKALLA AFANYA ZIARA YA KIKAZI PANGANI

 Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akivuko katika Kivuko cha Mv Pangani akiwa katika ziara ya kikazi wilayani, Pangani, Tanga jana.
 Naibu waziri maji na mbunge wa mvomero alihutubia wakati wa mahafali darasa la shule ya msingi Kichangani
 Naibu waziri maji Amos makalla akizindua mradi maji kijiji cha Bweni wilaya ya Pangani
Naibu waziri maji Amos makalla akiwa na kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Pangani kushoto kwake ni mkuu wa wilaya Hafsa Mtesiwa

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI