Simba yatoka sare ya 1-1 na Stand United

Kikosi cha Stand United.
Kikosi cha Simba.
Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri akishuhudia timu yake wakati ikicheza na Stand United.

Benchi la ufundi la Stand United.
Golikipa wa timu ya Stend United, John Mwenda akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe wakati wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka  Tanzania uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1. (Picha na Francis Dande)   
John Mwenda akiwapanga wachezaji wake.
Mshambuliaji wa Simba, ibrahim Ajib akiwatoka mabeki wa Stand United.
kipa wa timu ya Stend United, John Mwenda akiukodolea macho mpira uliopigwa na Shaban Kisiga ukiingia wavuni wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara uliofanyika Uwanja wa Taifa.
Wachezaji wa Simba wakishangilia goli lao.
Wachezajhi wa Stande wakitoka mapumziko.

Wachezaji wa Stand United wakiwa katika =chumba cha waandishi wa habari wakati wa mapumziko badala ya kuingia katika chumba maalum kwa ajili ya timu hiyo.
Kocha wa stand United akitoa maelekezo kwa wachezaji wake.
Mashabiki wa Simba.
Mashabiki wa Simba wakiwa vichwa chini.
Wakifuatilia mchezo huo uku wakiwa hawana matumaini ya ushindi..
Mshambuliaji wa Simba, Amis Tambwe akimtoka beki wa Stand United, Idd Mobby.
Kocha wa Simba akitoa maelekezo kwa wachezaji wake.
Okwi akitafuta mbinu za kumtoka Iddy Mobby wa Stand United.
Amis Tambwe akipiga kichwa katikati ya mabeki wa Stand United.
Elius Maguri akimtoka beki wa Stand United.
Elius Maguri akiambaa na mpira.
Maguri akiipangua ngome ya Stand United.
Idd Mobby akimdhibiti Emmanuel Okwi.
Beki wa Stand United akimbana Emmanuel Okwi.
Nawatoka hivi.........
Mwamuzi wa mchezo huo, Anthony Kayombo kutoka Rukwa akimuonyesha kadi ya njano John Mwenda.
CHANZO MICHUZI BLOG

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI