BREAKING NEWS!!ABIRIA WANASADIKIWA KUFARIKI KATIKA AJALI YA BASI LA KAMPUNI YA WIBONELA LAPINDUKA ASUBUHI
Basi la
kampuni ya wibonela lililokuwa likitokea Kahama kuelekea jijini Dar
esalaam limepinduka asubuhi hii maeneo ya Phantom kahama baada ya dereva
wa basi hilo kushindwa kulimudu basi hilo lilipofika katika kona ya
Phantom
mjini kahama likiwa katika mwendo kasi, bado haijajulikana ni watu wangapi wamepoteza maisha na kujeruhiwa katika ajali hiyo. Taarifa za awali kutoka kwenye tukio ambazo hazijathibitishwa na polisi zinadai watu wamefariki
mjini kahama likiwa katika mwendo kasi, bado haijajulikana ni watu wangapi wamepoteza maisha na kujeruhiwa katika ajali hiyo. Taarifa za awali kutoka kwenye tukio ambazo hazijathibitishwa na polisi zinadai watu wamefariki
Comments