KINANA KUANZA KESHO ZIARA YA SIKU 16 LINDI NA MTWARA
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema leo jijini Dar es Salaam, kwambam ziara hiyo ni mwendelezo wa ziara za Sekretarieti ya Halmashauri Kuu Taifa katika mikoa mbali mbali nchini kwa ajili ya kukagua na kuhimiza uhai wa chama na pia kusimamia utekelezazaji wa Ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 - 2015.
Ifuatayo ni taarifa rasmi kama ilivyotolewa na Nape leo, alipozungumza na waandishi wa habari katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa
Comments