KINANA KUANZA KESHO ZIARA YA SIKU 16 LINDI NA MTWARA

Baada ya kumaliza kwa mafanikio makubwa ziara ya kukagua na kusimamia utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya CCM katika mikoa ya Pwani, Tanga na Iringa hivi karibuni, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kesho ataanza ziara kama hiyo ya siku 16 katika mikoa ya Lindi na Mtwara.

 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema leo jijini Dar es Salaam, kwambam ziara hiyo ni mwendelezo wa ziara za Sekretarieti ya Halmashauri Kuu Taifa katika mikoa mbali mbali nchini kwa ajili ya kukagua na kuhimiza uhai wa chama na pia kusimamia utekelezazaji wa Ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 - 2015.

Ifuatayo ni taarifa rasmi kama ilivyotolewa na Nape leo, alipozungumza na waandishi wa habari katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam.
 
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA