MKURUGENZI WA MAKOSA YA JINAI (DCI) ISAYA MNGULU ASTAAFU, KAMANDA WA ZAMANI WA MBEYA AKAIMU!

Aliekuwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu.Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu amestaafu leo baada ya kufikia kikomo cha umri kisheria (zaidi ya miaka 60). Kwa sasa nafasi yake amekaimu, Kamanda Diwani Athumani aliyewahi kuiwa Kamanda Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya.

Kamanda Diwani Athumani aliyewahi kuwa Kamanda Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya.Msemaji wa jeshi la polisi nchini, Advela Senso amethibitisha taarifa hiyo ambapo kwa sasa Kamanda Diwani atakaimu nafasi hiyo hadi pale jeshi litakapotangaza rasmi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*