KAMPUNI 100 ZAPONGEZWA DAR

 Meneja Biashara wa Benki ya Afrika (BOA), Bw. Solomon Haule (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari, kabla ya kuchezesha mchezo wa bahati nasibu kwa wateja wa benki hiyo, Dar es Salaam jana. Wengine ni Mkuu wa Mawasiliano, Bw. Willington Munyanga na Mkaguzi kutoka Bodi ya Michezo ya kubahatisha, Bw. Bakari Maggid (kulia).


 Naibu Mtendaji Mkuu wa Benki M, Bi. Jacqueline Woiso (wa tatu kushoto), akikadhi Tuzo maalumu kwa mwakilishi wa Kampuni ya Tanga Fresh, Bw. Douglas Makere, baada ya kumvika Joho la heshima kutambua mchango wa kampuni hiyo, wakati wa chakula cha usiku kilichoandaliwa kwa ajili ya kuyapongeza makampuni 100 ya kati, Dar es Salaam juzi. Kulia ni Ofisa wa Kampuni hiyo, Bw. Protas Kimario.
 Naibu Mtendaji Mkuu wa Benki M, Bi. Jacqueline Woiso (kushoto), akijaribu kumvika Joho la Heshima, Mwakilishi wa Kampuni ya Tanga Fresh, Bw. Douglas Kakere, wakati wa chakula cha usiku kupongeza makampuni 100 ya kati, Dar es Salaam juzi.




Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*