Kocha
Mkuu wa Kikosi cha Simba Phili, akiwasili katika mji wa Zenj kwa ajili
ya kuweka kambi ya timu yake kujiandaa na mzunguko wa Pili ya Ligi Kuu
ya Vodacom akielekea kubanda basi maalum liloloandaliwa kwa ajili yao,
kwa ajili ya kambi yao ya mazoezi.
Mwenyeji
wa Timu ya Simba Kiongozi wa Simba Zanzibar Ndg. Abdul Mshangama akiwa
na Kocha Mkuu wa Simba Phili wakiwa katika bandari ya Zenj baada ya
kuwasili kwa ajili ya kuweka kambi yao ya mazoezi Zenj.
Wachezaji
wa Simba wakielekea katika basi maalum walioandaliwa baada ya kuwasili
katika bandari ya Zenj na boti ya Kilimanjaro kwa ajili ya kuweka kambi
yao Zenj kujiandaa ligi kuu ya Vodacom mzunguko wa pili.
Wachezaji
wa Timu ya Simba ya wakiingia katika mabasi maalum yaliandaliwa na
Simba Zanzibar kwa ajili kuelekea kambini iliotayarishwa na wenyeji wao.
Comments