Mzee huyo aliyekuwa akizungumza kwa kujiamini mbele ya waandishi wetu, alisema mwaka 1979, shemeji yake, Nyazimbili au mama Godwin (anayedaiwa ni mama wa Rose) alijifungua mtoto wa kike katika Kijiji cha Sakura wilayani Pangani, Tanga ambapo kwa bahati mbaya mama huyo alifariki dunia hivyo mtoto kuchukuliwa na kanisa ambalo lipo Msimbazi Dar hakutaka kulitaja jina lililomlea mtoto huyo kwa kuwa familia haikuwa na uwezo.
Mzee Severin Daniel Ndauka anaedai kuwa Rose Ndauaka ni mwanaye.
“Baada
ya hapo, hatupata taarifa tena lakini mimi niliamua kuja Dar kwa ajili
ya kumtafuta Rose. Nilikwenda Msimbazi, nilipofika nikaambiwa Rose
alichukuliwa na kituo cha kulea watoto kilichopo Kurasini. Ilibidi
niende Kurasini, kufika nikaambiwa alichukuliwa na msamaria mwema kwa
ajili ya kumlea kama mtoto wake.INAENDELEA>>>
Comments