Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Uchukuzi, Dr. Harrison
Mwakyembe wakikagyua moja ya mabehewa mapya ya TRL yaliyonunuliwa kwa
fedha ya serikali wakati alipokwenda kwenye Bandari ya Dar es salaam
Desemba 8, 2014 kupokea mabehewa hayo.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Uchukuzi, Dr. Harrison
Mwakyembe wakikagyua moja ya mabehewa mapya ya TRL yaliyonunuliwa kwa
fedha ya serikali wakati alipokwenda kwenye Bandari ya Dar es salaam
Desemba 8, 2014 kupokea mabehewa hayo.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozwa na Waziri wa Uchukuzi, Dr.
Harrison Mwakyembe (kulia kwake) na Naibu Waziri wake, Dr. Charles
Tizeba (kulia) kukagua baadhi ya mabehewa mapya ya Shirika la Reli
nchini (TRL) yaliyonunuliwa na kwa fedha za serikali wakati alipokwenda
kwenye bandari ya Dar es salaam Desemba 8,2014.
Comments