Mbunge Jimbo la Chalinze. Ridhiwani Kikwete akitafuna kuku wa kienyeji baada ya kukaribishwa rasmi kwenye Kijiji cha Msoga kufuatia kuchaguliwa kwake kuwa mbunge wa jimbo hilo miezi kadhaa iliyopita
ambapo wazee wa kijiji hicho walimuandalia hafla fupi ya kumkaribisha kijijini hapo iliyoambatana na vyakula vya aina mbalimbali vya kimila ikiwemo kuku wa kienyeji aliyeandaliwa kiustadi mkubwa kama
anavyoonekana pichani. Kulia ni Mzee maarufu kijijini hapo, Zaid Lufunga. (PICHA NA OMARY SAID)
ambapo wazee wa kijiji hicho walimuandalia hafla fupi ya kumkaribisha kijijini hapo iliyoambatana na vyakula vya aina mbalimbali vya kimila ikiwemo kuku wa kienyeji aliyeandaliwa kiustadi mkubwa kama
anavyoonekana pichani. Kulia ni Mzee maarufu kijijini hapo, Zaid Lufunga. (PICHA NA OMARY SAID)
Comments