TAASISI ZA NPS NA TYCEN ZAWAKUTANISHA VIJANA KWENYE MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI

Picha ya pamoja ya washiriki wa mkutano wa Vijana wa Mabadiliko ya Tabianchi uliofanyika kwenye ukumbi wa Eco Sanaa, Mikocheni Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo umeandaliwa na Global Power Shift Tanzania Chapter (NPS) kwa kushirikiana na Tanzania Youth Cultural Exchange Network (TYCEN).
Afisa Mwandamizi Mazingira, Abela Muyungi kutoka Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) akifafanua jambo wakati wa mkutano huo
Mratibu wa Mtandao wa mabadiliko ya Tabianchi CAN Tanzania, Sixbert Mwanga akitoa mada wakati wa mkutano wa vijana wa mazingira.
 Baadhi ya washiriki wakifurahia jambo wakati wa mkutano huo uliowakutanisha vijana kutoka kwenye taasisi na mashirika mbalimbali yanayopambana na mabadiliko ya tabianchi.

 Baadhi ya washiriki wakifuatilia kwa makini mada wakati wa mkutano huo uliowakutanisha vijana kutoka kwenye taasisi na mashirika mbalimbali yanayopambana na mabadiliko ya tabianchi.
Baadhi ya washiriki wakifuatilia kwa makini mada wakati wa mkutano huo
Baadhi ya washiriki wa mkutano huo wakifuatilia mada

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI