Msanii
Alex Chalamila maarufu kama MCRegan akiburudisha katika tamasha la
kuhamasisha matumizi ya mtandao wa simu ya mkononi ya Tigo lililofanyika
kwenye uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma. Msanii
wa kundi la Origional Comedy Emanuel Mgaya (Masanja) akiburudisha
kwenye tamasha la Tigo welcome pack lililofanyika kwenye uwanja wa Lake
Tanganyika mjini Kigoma. Msanii
wa kundi la Origional Comedy Isaya Mwakilasa (Wakuvanga) akiburudisha
kwenye tamasha la Tigo welcome pack kwenye uwanja wa Lake Tanganyika
mjini Kigoma. Msanii
wa Bongo Flava Sunday Mjeda (Linex) akitumbuiza kwenye tamasha la Tigo
welcome pack lililofanyika uwanja wa lake Tanganyika mjini Kigoma. Msanii
nguli wa hiphop nchini Joseph Haule a.k.a Prof J akitumbuiza kwenye
tamasha la Tigo welcome pack huku akisindikizwa na wasanii wa kundi la
Origional Comedy kwenye uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma. Msanii
nguli wa hiphop nchini Joseph Haule a.k.a Prof J akitumbuiza kwenye
tamasha la Tigo welcome pack huku akisindikizwa na wasanii wa kundi la
Origional Comedy kwenye uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma.
Baadhi ya wananchi wa manispaa ya kigoma ujiji wakipata huduma
kuhusiana na bidhaa na huduma mbalimbali za mtandao wa simu ya mkononi
ya tigo kutoka kwenye vibanda mbalimbali vya kutoa huduma katika uwanja
wa Lake Tanganyika wakati wa tamasha la Tigo welcome pack
lililofanyika mjini Kigoma.
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments