Mshindi
wa Taji la Miss Tanzania 2013 ambaye pia ameshiriki mashindano ya Miss
World mwaka 2014, Happiness Watimanywa ameandika ujumbe kupitia Facebook
na Twitter.
Katika
ujumbe huo ameonyesha kufurahi kuwa mwakilishi wa Tanzania katika
Mashindano hayo makubwa ya Dunia na pia amewashukuru Watanzania kwa
kumpigia kura na kumpa support kubwa.
Happiness kaandika ujumbe huu kwenye ukurasa wake wa Facebook; “It has been a pleasure being here in #London representing #Tanzania for this year’s#MissWorld‘s #MW2014 pageant. Thank you #Tanzania for supporting me. Please keep voting for Tanzania. #Oxforddebate #charitygala #topmodel#MissWorld2014 #MW2014#lessonlearnt #wellappreciated — in London, United Kingdom.“
Comments