WASAIDIZI WA KISHERIA KATIKA MASOKO MANISPAA YA ILALA, WAMALIZA MAFUNZO YA SIKU 25 YALIYOANDALIWA NA SHIRIKA LA EfG

Mkurugenzi Mtendaji  wa Shirika lisilo la Kiserikali la Equality For Growth (EfG), Jane Magigita, akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo. Kutoka kulia ni Mwakilirishi kutoka Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Doris Gweba, Diwani wa Kata ya Mchikichini Mhe.Riyani na Mgeni rasmi, Leopold Kaswezi.
Mgeni rasmi, Leopold Kaswezi (katikati), akizungumza na wahitimu hao. Kulia ni Diwani wa Kata ya Mchikichini, Mhe.Riyani na Mkurugenzi Mtendaji  wa Shirika lisilo la Kiserikali la Equality For Growth (EfG), Jane Magigita.
Mjumbe wa EfG, Emanuel Tuju akizungumza wakati akitoa shukurani kwa mgeni rasmi.
Muhitimu wa mafunzo hayo, Bakari  Yusuph kutoka soko la Feri, akikabidhiwa cheti chake na mgeni rasmi.
Muhitimu wa mafunzo hayo, Batreti Malemula kutoka soko la Feri, akikabidhiwa cheti chake na mgeni rasmi.
 Soko la Ilala Boma Consolata
Muhitimu wa mafunzo hayo, Mwalimu Halima Kilimo kutoka soko la Buguruni kikabidhiwa cheti chake na mgeni rasmi.
Muhitimu wa mafunzo hayo, Mwalimu Chiku Hamisi kutoka soko la Buguruni, akionesha cheti chake kwa furaha baada ya kukabidhiwa.
Wahitimu wakiwa kwenye hafla hiyo.
 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI