Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (KINANA) akiwa katika mazungumzo na makundi matatu ya chama cha SPLM ya Sudani ya kusini, katika Hoteli ya Ngurdoto, mkoani Arusha. Usuluhishi huo unaofanywa na CCM unalenga kukamilisha makubaliano baina ya makundi hasimu.
Baada ya Mazungumzo Ndugu Kinana alisema ana matumaini ya kufikiwa makubaliano ya kukiunganisha chama cha SPLM katika siku chache zijazo. Katika mazungumzo hayo alikuwepo Mzee John Malecela (kushoto kwake) ambaye ni Mwenyekiti wa Mazungumzo, yanayosimamiwa na CCM.
Baada ya Mazungumzo Ndugu Kinana alisema ana matumaini ya kufikiwa makubaliano ya kukiunganisha chama cha SPLM katika siku chache zijazo. Katika mazungumzo hayo alikuwepo Mzee John Malecela (kushoto kwake) ambaye ni Mwenyekiti wa Mazungumzo, yanayosimamiwa na CCM.
Comments