Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mh. Shamsi Vuai Nahodha mlezi wa Mkoa wa Magharibi na Mbunge wa jimbo jimbo la Mwanakwerekwe wakati alipowasili katika wilaya Amani akiendelea na ziara yake katika visiwa vya Unguja na Pemba Zanzibar ,Kinana yuko katika ziara ya siku 15 katika visiwa hivyo akikagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza uhai wa chama, NEC CCM Itikadi na Uenezi.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE- ZANZIBAR) Mh. Shamsi Vuai Nahodha mlezi wa Mkoa wa Magharibi na Mbunge wa jimbo la Mwanakwerekwe akiongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi mara baada ya msafara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kuwasili mkoa wa Magharibi. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana wana CCM na wananchi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika mkoa wa Magharibi. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiangalia kikundi cha ngoma Kikundi cha Ngoma kikiendelea na Burudani. Baadhi ya wanafunzi wa chuo cha Mwenge Comunity Centre kilichopo wilaya ya Amani Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wanafunzi wa chuo cha MCC. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na mbunge wa jimbo la Mpendae Salum Turki. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikata utepe kuzindua ofisi ya CCM Mpendae Bondeni.
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments