Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (katikati), na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye (nyuma yake) wakikimbia pamoja na vijana alipowasili katika Jimbo la Donge, Wilaya ya Kaskazini B, Unguja Zanzibar, wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua na kuhimiza utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi.
Kinana akiwa na Mwenyekiti wa UMoja wa Vijana wa CCM, Sadifa Juma Khamis (kulia0 wakishiriki ujenzi wa ukumbi wa mitihani katika shule ya Mahonda, Jimbo la Donge, Kaskazini Unguja.
Wananchi wakishangilia wakati Komredi Kinana akihutubia katika Tawi la CCM Mwembe Jogoo ambalo alishiriki ujenzi waka.
Kinana akimkabidhi fedha Mwenyekiti wa kikundi cha ujasiriamali cha Riziki Yetu, Riziki Mohamed zilizotolewa na mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Ally Seif Idd, Bibi Asha kuendeleza vikundi mbalimbali katika Jimbo la Kitope.
Kinana akishiriki ujenzi wa jengo la Tawi la CCM la Mwembe Jogooo
Makamu wa Pili wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Ally Seif Idd akizungumza katika Tawi la CCM Mwembe Jogoo, ambapo alihidi kumaliza tatizo la maji katika eneo hilo.
Mwenyekiti wa Vijana wa CCM Taifa, Sadifa Juma Khamis akihutubia katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Maskani ya CCM Kizota, Kaskazini Unguja,
Mtoto wa mwasisi wa Mapnduzi Znzibar, Abeid Mamani Karume, Ali Karume akihutubia katika mkutano huo
kIJANA wa Jamii ya kimasai akishangilia wakati Kinana akihuitubia mkutano huo
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia katika mkutano huo
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Seif Ali Idi akihutubia katika mkutano huo
Komredi Kinana akihutubia katika mkutano huo, ambapo aliwataka wazanzibar kuipigia kura ya ndiyo Katiba inayopendekezwa Aprili 30, mwaka huu
Kinana akiwa na Mwenyekiti wa UMoja wa Vijana wa CCM, Sadifa Juma Khamis (kulia0 wakishiriki ujenzi wa ukumbi wa mitihani katika shule ya Mahonda, Jimbo la Donge, Kaskazini Unguja.
Wananchi wakishangilia wakati Komredi Kinana akihutubia katika Tawi la CCM Mwembe Jogoo ambalo alishiriki ujenzi waka.
Kinana akimkabidhi fedha Mwenyekiti wa kikundi cha ujasiriamali cha Riziki Yetu, Riziki Mohamed zilizotolewa na mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Ally Seif Idd, Bibi Asha kuendeleza vikundi mbalimbali katika Jimbo la Kitope.
Kinana akishiriki ujenzi wa jengo la Tawi la CCM la Mwembe Jogooo
Makamu wa Pili wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Ally Seif Idd akizungumza katika Tawi la CCM Mwembe Jogoo, ambapo alihidi kumaliza tatizo la maji katika eneo hilo.
Mwenyekiti wa Vijana wa CCM Taifa, Sadifa Juma Khamis akihutubia katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Maskani ya CCM Kizota, Kaskazini Unguja,
Mtoto wa mwasisi wa Mapnduzi Znzibar, Abeid Mamani Karume, Ali Karume akihutubia katika mkutano huo
kIJANA wa Jamii ya kimasai akishangilia wakati Kinana akihuitubia mkutano huo
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia katika mkutano huo
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Seif Ali Idi akihutubia katika mkutano huo
Komredi Kinana akihutubia katika mkutano huo, ambapo aliwataka wazanzibar kuipigia kura ya ndiyo Katiba inayopendekezwa Aprili 30, mwaka huu
Comments