Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akishiriki kung'oa visiki kwenye ujenzi wa barabara unaofanywa na wananchi kwa msaada wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii (TASAF) katika Kijini cha Shauri Pili, wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwakufuata Ilani ya Uchaguzi, Wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja, Zanzibar.
Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Skuli, Jimbo la Nungwi, wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja leo, ambapo aliwataka wananchi wa jimbo hilo kuipigia kura Kataiba inayopendekezwa kwani mambo mengi waliyokuwa wanayatakawananchi wa Zanzibar na Chama cha Wananchi CUF, yamo kwenye Katiba hiyo kasoro suala la Serikali tatu.PICHA ZOTE NA KAMANDA MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Wananchi wakishangilia hotuba ya Kinana kwenye mkutano huo.Kinana akishiriki kupanda mgomba katika shamba la ushirika wa akina mama katika Kijiji cha Kbanda Maji, Zanzibar.Vijana wakitumbuiza kwa sarakasi wakati Kinana alipokwenda kukagua ujenzi wa nyumba ya mganga katika Hospitali ya Matemwe, Unguja, Zanzibar.
Kinana akilakiwa na akina mama wa ushirika wa Kilimo cha migomba, mananasi na mboga katika Kijiji cha
Kibanda Maji, Wilaya ya Kaskazini A.
Kinana akishiriki kupanda mgomba katika shamba la ushirika wa akina mama katika Kijiji cha Kbanda Maji, Zanzibar.
Wananchi wa Kijiji cha Masingini Jimbo la Chaani, wakiwa na furaha kubwa kumlaki Kinana.
Wasanii wakitumbuiza kwa sarakasi wakati Kinana alipowasili kukgua ujenzi wa nyumba ya mganga katika Hospitali ya Matemwe, Jimbo la Matemwe Zanzibar
Kinana akiwasili kushiriki ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Tazari, Jimbo la Nungwi, Zanzibar
Kinana akigawa seti za Jezi kwa mmoja wa viongozi wa timu mbalimbali zilizogawiwa jezi kwa ajili ya kuendeleza michezo
Kinana akishiriki ujenzi wa uzio wa uwanja wa Tazari, Jimbo la Nungwi.
Wananchi wa Tazari wakiwa na furaha baada ya Kianna kushiriki ujenzi wa uzio wa uwanja wa Tazari
Balozi wAa CCM sINA NAMBA 3 Nungwi, Khamis Makame Faki akimkaribisha Kinana kuongea baada ya kutembelewa na uongozi huo wa juu.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Skuli y mjini Nungwi
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Vuai Ali Vuai akihutubia kabla ya kumkaribisha Katibu Mkuu Kinana
Katibu Mkuu wa CCM Kinana, akihutubia katika mkutano huo
Baadhi ya wanachama 284 waliojiunga na CCM wakila kiapo baada ya kukabidhiwa kno huoadi kwenye mkuta
Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Skuli, Jimbo la Nungwi, wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja leo, ambapo aliwataka wananchi wa jimbo hilo kuipigia kura Kataiba inayopendekezwa kwani mambo mengi waliyokuwa wanayatakawananchi wa Zanzibar na Chama cha Wananchi CUF, yamo kwenye Katiba hiyo kasoro suala la Serikali tatu.PICHA ZOTE NA KAMANDA MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Wananchi wakishangilia hotuba ya Kinana kwenye mkutano huo.Kinana akishiriki kupanda mgomba katika shamba la ushirika wa akina mama katika Kijiji cha Kbanda Maji, Zanzibar.Vijana wakitumbuiza kwa sarakasi wakati Kinana alipokwenda kukagua ujenzi wa nyumba ya mganga katika Hospitali ya Matemwe, Unguja, Zanzibar.
Kinana akilakiwa na akina mama wa ushirika wa Kilimo cha migomba, mananasi na mboga katika Kijiji cha
Kibanda Maji, Wilaya ya Kaskazini A.
Kinana akishiriki kupanda mgomba katika shamba la ushirika wa akina mama katika Kijiji cha Kbanda Maji, Zanzibar.
Wananchi wa Kijiji cha Masingini Jimbo la Chaani, wakiwa na furaha kubwa kumlaki Kinana.
Wasanii wakitumbuiza kwa sarakasi wakati Kinana alipowasili kukgua ujenzi wa nyumba ya mganga katika Hospitali ya Matemwe, Jimbo la Matemwe Zanzibar
Kinana akiwasili kushiriki ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Tazari, Jimbo la Nungwi, Zanzibar
Kinana akigawa seti za Jezi kwa mmoja wa viongozi wa timu mbalimbali zilizogawiwa jezi kwa ajili ya kuendeleza michezo
Kinana akishiriki ujenzi wa uzio wa uwanja wa Tazari, Jimbo la Nungwi.
Wananchi wa Tazari wakiwa na furaha baada ya Kianna kushiriki ujenzi wa uzio wa uwanja wa Tazari
Balozi wAa CCM sINA NAMBA 3 Nungwi, Khamis Makame Faki akimkaribisha Kinana kuongea baada ya kutembelewa na uongozi huo wa juu.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Skuli y mjini Nungwi
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Vuai Ali Vuai akihutubia kabla ya kumkaribisha Katibu Mkuu Kinana
Katibu Mkuu wa CCM Kinana, akihutubia katika mkutano huo
Baadhi ya wanachama 284 waliojiunga na CCM wakila kiapo baada ya kukabidhiwa kno huoadi kwenye mkuta
Comments