KONYAGI YATEMBELEA MASHAMBA YA WAKULIMA WA ZABIBU DODOMA AMBAO WATOTO WAO WANAFADHILIWA KIMASOMO

 Mratibu wa Mpango wa Kampuni ya Konyagi wa kuwasomesha watoto wa wakulima wa zao la zabibu kwa masomo ya Sekondari Saimon Chibehe (katikati), akitembelea hivi karibuni shamba la zabibu la Festo Kuziganika katika Kijiji cha Mbabara, mkoani Dodoma. Kulia ni mmoja wa wakulima wa eneo hilo, Juliana Masukwi. Watoto wa wakulima hao wameingizwa kwenye mpango huo.
 Festo Kuziganika mkazi na mkulima wa zabibu katika katika Kijiji cha Mbabara, Manispaa ya Dodoma akimuelekeza jambo Mratibu wa Mpango wa Kampuni ya Konyagi wa kuwasomesha watoto wa wakulima wa zao hilo kwa masomo ya Sekondari,Saimon Chibehe (kulia) aliyekwenda hivi karibuni kuwatembelea wakulima hao.
 Mratibu wa Mpango wa Kampuni ya Konyagi wa kuwasomesha watoto wa wakulima wa zao la zabibu kwa masomo ya Sekondari Saimon Chibehe (wa pili kulia), akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkulima Juliana Masukwi (kulia), kuhusu utunzaji wa zao hilo, alipotembelea hivi karibuni shamba hilo katika Kijiji cha Mbabara, mkoani Dodoma. Wa pili kushoto ni mmoja wa wakulima wa zabibu katika Kijiji hicho, Festo Kuziganika. Watoto wa wakulima hao wameingizwa kwenye mpango huo wa kulipiwa masomo.
 Mratibu wa Mpango wa Kampuni ya Konyagi wa kuwasomesha watoto wa wakulima wa zao la zabibu kwa masomo ya Sekondari Saimon Chibehe (katikati), akitembelea hivi karibuni shamba la zabibu la Festo Kuziganika katika Kijiji cha Mbabara, mkoani Dodoma. Kulia ni mmoja wa wakulima wa eneo hilo, Juliana Masukwi. Watoto wa wakulima hao wameingizwa kwenye mpango huo.
Mkulima Juliana Masukwi mkazi wa Mbabara A', mkoani Dodoma akimuonesha  mti wa mzabibu Mratibu wa Mpango wa kuwasomesha watoto wa wakulima wa zao hilo kwa masomo ya SekondariSaimon Chibehe (hayupo pichani), ambaye hivi karibuni alitembelea shamba lake lililomwezesha mtoto wake aanze kufadhiliwa na kampuni ya Konyagi kielimu kwa masomo ya sekondari.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA