Mkurugenzi
wa IFAD, Ofisi huru ya Tathmini, Mr Oscar Garcia akitoa ripoti ya
tathmini ya programu ya IFAD nchini Tanzania jinsi ilivyoweza kuonyesha
mafanikio makubwa wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika Januari 29,
2014 jijini Dar katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwl Nyerere.
Waziri
wa Kilim, Chakula na Ushirika Tanzania Bara, Mh Steven Wassira akisoma
hotuba fupi wakati wa warsha ya siku moja iliyolenga kuonyesha mafanikio
ya programu ya IFAD nchini Tanzania, warsha iliyofanyika katika Ukumbi
wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwl Nyerere Januari 29, 2014 jijini Dar.
Waziri wa Kilimo na Maliasili wa Zanzibar, Mh Sira Ubwa Mamboya akizungumza wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika Januari 29, 2014 katika
ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwl Nyerere wakati wa kuwasilisha
ripoti ya tathmini ya programu ya IFAD nchini Tanzania.
Nadine
Gbossa, Mkuu wa Ofisi ya Kanda ya IFAD Nairobi akizungumzia tathmini ya
mafanikio ya programu ya IFAD nchini Tanzania katika warsha ya siku
moja iliyofanyika Januari 29 2014 jijini Dar Es Salaam katika Ukumbi wa
Mikutano wa Kimataifa wa Mwl Nyerere.
Wafanyakazi
wa IFAD Tanzania na washirika wake wakifuatilia warsha hiyo ya siku
moja iliyofanyika Jijini Dar Januari 29, 2014 katika Ukumbi wa Mikutano
wa Kimtaifa wa Mwl Nyerere
Mgeni
rasmi ambae pia ni Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mh Steven
Wassira akiwa katika Picha ya Pamoja na baadhi ya viongozi waandamizi wa
Shirika la IFAD pamoja na wahisani.Picha zote na Josephat Lukaza - Lukaza Blog
Dar es Salaam, 29 January 2015 -
Targeted investments in Tanzanian agriculture contributed to
increasing yields for crops such as paddy, maize, or tomato in a range
of 60 to 120 per cent in those areas where irrigation and extension
activities were carried out at a substantial level, a new country
programme evaluation by the Independent Office of Evaluation of the
International Fund for Agricultural Development (IFAD), presented today
in Dar es Salaam, reveals.
Tanzania
has the second-largest IFAD portfolio (in terms of volume of lending)
in the East and Southern Africa region, after Ethiopia. Since the
beginning of IFAD's operations in the country in 1978, IFAD has financed
14 loan-funded investment projects of US$360 million, and has mobilized
more than US$700 million in support to agricultural development
projects. The government has provided cofinancing of US$72 million, or
about 10 per cent of total portfolio costs. Additional contributions
were provided by other donors, notably the African Development Bank, the
World Bank and the governments of Belgium, Japan and Ireland.
The
evaluation recommended that IFAD support the next phase of the
Agricultural Sector Development Programme – a governmental programme
that aims to improve farmers' access to and use of agricultural knowledge, technologies, marketing systems and infrastructure, in Mainland and Zanzibar.
“In
Zanzibar and Pemba alone, IFAD’s support through the Agricultural
Sector Development Programme has assisted more than 35,000 farmers, 62
per cent of whom were women,” said Nadine Gbossa, Head of the IFAD
Regional Office in Nairobi. “This programme has concentrated on
agricultural extension activities, adopting the innovative Farmer Field
Schools approach. The Government has adopted this approach as part of
its policies and strategies, and is now integrating it in its
programmes. This is a major achievement for IFAD as a partner.”
The
evaluation report highlighted how instrumental IFAD and other
development partners were in supporting Tanzania’s decentralization
policy, which seeks to devolve responsibility for designing and
implementing projects to local government authorities. The evaluation,
however, found limited progress in supporting agricultural marketing and
value chain development.
The
independent evaluation report – the second of its kind in Tanzania –
will inform IFAD’s next country strategy in late 2015. “The next IFAD
country strategy is an opportunity to build on the results of
agriculture extension activities and focus on marketing and
agricultural value-chain development, as well as to strengthen
non-lending activities, including knowledge management, policy dialogue
and partnership-building,” said Oscar A. Garcia, Director of the
Independent Office of Evaluation. "Moreover, there is room to broaden
engagement with the private sector and explore more coordinated support
to value chains with other development partners in Tanzania," he added.
The full evaluation report is expected to be released in April 2015.
----------
Comments